{"id":19506,"date":"2026-09-07T19:48:14","date_gmt":"2026-09-07T18:48:14","guid":{"rendered":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/?p=19506"},"modified":"2026-09-07T19:48:14","modified_gmt":"2026-09-07T18:48:14","slug":"ndugu-chris-alipoomba-nilipona-papo-hapo","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/blog\/2026\/09\/07\/ndugu-chris-alipoomba-nilipona-papo-hapo\/","title":{"rendered":"NDUGU CHRIS ALIPOOMBA, NILIPONA PAPO HAPO!"},"content":{"rendered":"\n<p class=\"wp-block-paragraph\">\u201cJina langu ni Saimone kutoka New Zealand. Amani ya Mungu iwe nawe Ndugu Chris na nawatakia mwaka mpya wa baraka 2026 nyinyi wote katika God\u2019s Heart TV. Nataka kutoa ushuhuda kuhusu kupona kwangu katika jicho langu la kulia papo hapo baada ya kuhudhuria ibada ya Maombi ya Ushirika kupitia zoom siku ya jumapili,tarehe 28 mwezi wa Desemba 2025( wakati wa New Zealand). Nilikuwa nikiugua kutokana na kutoona vizuri kwa wiki nne kabla ya mkutano huo. Lakini Ndugu Chris alipoomba nilipona papo hapo. Namtukuza Mungu na utukufu uwe kwake pekee! Asante kwa kuniombea na pia kuiombea familia yangu. Nawaombea muwe na mafanikio katika mwaka wa 2026. Mungu awabariki!<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>\u201cJina langu ni Saimone kutoka New Zealand. Amani ya Mungu iwe nawe Ndugu Chris na nawatakia mwaka mpya wa baraka 2026 nyinyi wote katika God\u2019s Heart TV. Nataka kutoa ushuhuda kuhusu kupona kwangu katika jicho langu la kulia papo hapo baada ya kuhudhuria ibada ya Maombi ya Ushirika kupitia zoom [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":4,"featured_media":19507,"comment_status":"closed","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"content-type":"","footnotes":""},"categories":[57],"tags":[],"class_list":["post-19506","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-testimonies"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/19506","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/users\/4"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=19506"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/19506\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":19508,"href":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/19506\/revisions\/19508"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/media\/19507"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=19506"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=19506"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/godsheart.tv\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=19506"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}